Tukianzia nchini Tanzania Wakali wa RNB Wajulikanao kama Navy kenzo wameachia ngoma yao mpya ijulikanayo kama Lini ndani humo basi wamemshirikisha mkali wa masauti Alikiba /King kiba
Na hii imeonyesha kuwa wamejiandaa vizuri kuanza mwaka 2017 wakiwa na vitu vikali vya kutosha kwa mashabiki wao kitu cha msingi kaa karibu na mimi kwa habari zote nzuri