For more Details tembelea

@Instagram.com/the_runner_boy @Instagram.com/the_runner_boy2 @tweeter.com/ferouzrunnerboy @youtube.com/A5tv @facebook.com/ferouzrunnerboy

Name*


Message*

Blog Archive

Songs kaliiiii

Blog Archive

Categories

Kwa matangazo yote

Labels

Labels

Translat any Story in Your Language

Pages

About

About

BTemplates.com

Blogroll

Blogroll

Weekly most viewed

Skip to main content

Ripoti Kutoka Tuzo za A.E.A Nchini Marekani
















Usiku mmoja yalifanyika matukio mawili ndani OCT 22 Nchini Afrika kusini Zilitolewa Tuzo za #MTVMAMA2016
Wakati Nchini #Marekani zikitolewa Tuzo za #A.E.A Na kwenye Tuzo za A.E.A Matokeo yalikuwa kama hivi;-

Katika kipengele cha msanii bora chipukizi walioshiriki walikuwa ni
#Harmonize,Tekno miles,Ziza Bafana,Ayo jay,Missy Bk,Jay Oliver,Den G,Togar Howard

Katika kipengele cha Wimbo bora wa kushirikiana walikuwa ni
#Alikiba akimshirikisha Christian Bella- Nagharamia ,Woju Ya Kiss Daniel Akimshirikisha Davido & Tiwa savage,Obrafour akimshirikisha na Bisa Kdei- Pimpina ,To Semedo Akimshirikiana na Boss Ac -Porque Te Amo,Yemi Alade akimshirikisha Selebobo -Nagode

Kipengele cha Dj Bora ni;-
#Dj Tunez ,Dj Van, Dj D Ommy,Dj Mensah ,Dj Brazao ,Dj BossMan , & Dj JImmy Jatt

Kipengele cha Msanii Bora wa Kiume
#Eddy Kenzo ,Wizkid ,Mc Gallaxy ,Nelson Freitas , Coreon Du , Master Jake & Diamond platnumz
























Na Hawa ndio walioibuka washindi katika Tuzo Hizi ambao ni

#Harmonize Kama Msanii bora Chipukizi
#Diamond Platnumz kama Msanii bora wa Kiume
#Dj D Ommy Kama Dj Bora
#A.Y Wimbo bora wakushirikiana

Kiukweli Tanzania bado tunazidi kupanda Chart katika List ya wakali bora Duniani A.E.A awards 2016



Comments