For more Details tembelea

@Instagram.com/the_runner_boy @Instagram.com/the_runner_boy2 @tweeter.com/ferouzrunnerboy @youtube.com/A5tv @facebook.com/ferouzrunnerboy

Name*


Message*

Blog Archive

Songs kaliiiii

Blog Archive

Categories

Kwa matangazo yote

Labels

Labels

Translat any Story in Your Language

Pages

About

About

BTemplates.com

Blogroll

Blogroll

Weekly most viewed

Skip to main content

Mwanamke anyimwa kazi kwakuwa na Rasta nchini Marekani

Kampuni moja nchini Marekani iliyokataa kumuajiri mwanamke mwenye asili ya kiafrika Kwa sababu alikataa kuzikata nywele zake za rasta. Mahakama ya rufaa nchini Marekani imetupilia mbali kesi dhidi ya ka

Chastity Jones alituma ombi la kazi katika kampuni moja ya kukabiliana na majanga na akaajiriwa

Lakini ilikuwa chini ya sharti kuwa ni lazima akatwe nywele zake.Meneja anayesimamia masuala ya wafanyakazi inasemekana alimwambia kwamba "nywele zake haziendani na sera za kampuni yao inakuwa kama kero kwao"

Tume ya fursa za ajira nchini humo EEOC inayoimani kwamba hatua ya kampuni hiyo ilikuwa kinyume na sharia ya mwaka 1964

Na tume hiyo ya fursa za ajira ilihoji huku ikisema kupiga marufuku rasta kazini ni ubaguzi wa rangi, kwasababu walio na rasta sana ni watu wenye asili za kiafrika





Comments